Tundu Lissu Akomalia Vyeti FEKI Vya Bashite……..Aungana na Wanasheria Wenzake Kufungua Kesi Mahakamani
Wakili Tundu Lissu na wenzake wa Chama Cha Wanasheria Tanganyika (TLS) wamelikomalia vilivyo sakata maarufu la Bashite linalohusiana na tuhuma za kughushi vyeti vya kielimu linalomkabili mmoja wa wakuu wa…