Dr Wilbroad Slaa kurudi nchini baada ya kukaa nje na kutoa waraka mzito kwa wanasiasa.
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambaye kwa sasa anaishi nje ya nchi, Willbrod Slaa amesema anajitathmini kwa kile kilichomfanya aondoke hapa nchini na familia yake…