Misaada yaendelea Peru
Misaada mbalimbali ya kibinadamu imeanza kuwafikia watu wanaokabiliwa na mahitaji mbalimbali, baada ya nchi ya PERU kukumbwa na mafuriko mabaya zaidi kuliko yote kuwahi kutokea nchini humo miongo miwili iliyopita.…
HabariNjema Fm- Mbulu Manyara
Misaada mbalimbali ya kibinadamu imeanza kuwafikia watu wanaokabiliwa na mahitaji mbalimbali, baada ya nchi ya PERU kukumbwa na mafuriko mabaya zaidi kuliko yote kuwahi kutokea nchini humo miongo miwili iliyopita.…
Watu takriban 20 wamefariki dunia na wengine wengi kujeruhiwa baada ya mti mkubwa kuwaangukia wakiogelea katika maporomoko ya maji eneo la Kintampo, Ghana. Watu hao walikuwa wakiogelea pale upepo mkubwa…
KAMATI za Kudumu za Bunge zimeanza shughuli zake mjini Dodoma hadi Aprili 2, mwaka huu kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Saba wa Bunge Aprili 4. Serikali wiki ijayo itawasilisha…
Rais John Magufuli amemtaka Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuendelea kuchapa kazi na kwamba yeye hafanyii kazi maneno ya kwenye mitandao Ameyasema hayo wakati akiwahutubia wananchi…
Wananchi wa wilaya ya MBULU mkoani MANYARA wameeleza kusikitishwa na kifo cha diwani wa viti maalumu wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMABi SUZAN MIGIRE aliyefariki dunia tarehe 19 march…