Month: March 2017

Misaada yaendelea Peru

Misaada mbalimbali ya kibinadamu imeanza kuwafikia watu wanaokabiliwa na mahitaji mbalimbali, baada ya nchi ya PERU kukumbwa na mafuriko mabaya zaidi kuliko yote kuwahi kutokea nchini humo miongo miwili iliyopita.…