Jamii imeshauriwa kuzingatia ujenzi kwa kufuata sheria za mipango miji
Jamii imeshauriwa kuzingatia ujenzi kwa kufuata sheria za mipango miji katika maeneo mbalimbali nchini ili kuweza kupata msaada wa haraka pindi yanapotokea majanga ya moto kwenye makazi yao. Akizungumza kwa…