Utunzaji wa mazingiza Tarafa ya Daudi Mbulu Mkoani Manyara
Jamii imeshauriwa kupanda miti kwa wingi ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi kwani shughuli za binadamu ndizo zinazochangia pa kubwa uharibifu wa mazingira. Kufahamu zaidi kuhusu hilo mwanahabari…