Wahujumu uchumi walitaka kumhonga Rais Magufuli Bilioni 300, uchunguzi Makinikia
Ikiwa imepita siku mbili tangu Rais John Magufuli kueleza kuwa kwa sasa nchi iko katika vita ya uchumi na kwamba ana majina ya watu waliotaka kuingilia na kuharibu uchunguzi wa…