Category: radio

Misaada yaendelea Peru

Misaada mbalimbali ya kibinadamu imeanza kuwafikia watu wanaokabiliwa na mahitaji mbalimbali, baada ya nchi ya PERU kukumbwa na mafuriko mabaya zaidi kuliko yote kuwahi kutokea nchini humo miongo miwili iliyopita.…

Msiba wa Diwani – Mbulu

Wananchi wa wilaya ya MBULU mkoani MANYARA wameeleza kusikitishwa na kifo cha diwani wa viti maalumu wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMABi SUZAN MIGIRE aliyefariki dunia tarehe 19 march…