Wananchi wilayani Mbulu Mkoani Manyara watakiwa kujiunga-PPF
Wananchi wilayani mbulu mkoani manyara wametakiwa kujiunga na mfuko wa hifadhi ya jamii PPF kwa mafao ya uzeeni na afya . Akizungumza na redio habari njema mkuu wa wilaya ya…
HabariNjema Fm- Mbulu Manyara
Wananchi wilayani mbulu mkoani manyara wametakiwa kujiunga na mfuko wa hifadhi ya jamii PPF kwa mafao ya uzeeni na afya . Akizungumza na redio habari njema mkuu wa wilaya ya…
Halmashauri ya mji wa Mbulu imetangaza matokeo ya uchaguzi mdogo wa mitaa mitatu uliofanyika hivi karibuni kujaza nafasi zilizoachwa wazi baada wa viongozi hao kujihuzulu. Akizungumza na kituo hiki kaimu…
Mahakama kuu kanda ya Dar es Salaam, imemuachia huru mbunge wa Kilombero kupitia chama cha demockrasia na maendeleo (Chadema) Peter Lijualikali. Lijualikali amekutwa hana hatia katika kesi hiyo ambayo alihukumiwa…
Baraza la Madiwani katika Halmashauri ya wilaya ya Moshi Mkoani Kilimanjaro wameazimia kwa pamoja kupitiwa upya kwa mchakato wa kuwepo kwa jiji la Moshi ambalo litahusisha baadhi ya vijiji wilayani…
Maafisa wa uhamiaji nchini Uganda wamevamia makao ya kampuni moja ya ujenzi ya China, na kuwakamata raia 28 wa Uchina kwa madai kuwa wanaishi na kufanya kazi nchini humo kinyume…
Waziri wa fedha Henry Rotich anakwenda bungeni na Bajeti ya Shilingi za Kenya Trilioni 2.6, ikiwa ndio bajeti kubwa zaidi kushuhudia nchini humo. Hii ndio mara ya kwanza kwa bajeti…
Waziri wa mambo ya nje wa India Sushma Swaraj, ameomba kufanyika kwa uchunguzi kufuatia tuhuma za kushambuliwa kwa Waafrika katika jimbo la Uttar Pradesh. Wanafunzi wane kutoka Nigeria wanauguza majeraha…
Kiongozi mwanaharakati aliyeshiriki kupigana dhidi ya utawala wa ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini Ahmed Kathrada amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 87, wakfu wake umetangaza. Bw Kathrada alifariki…
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira )January Makamba amesema Monduli ni moja ya wilaya zitakazonufaika na mradi wa kuhimili mabadiliko ya tabia nchi ili kuwasaidia…
Kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya Ya Biharamulo Mkoani Kagera imeapa kuhakikisha wafugaji wote ambao wamekaidi kuondoka katika mapori ya akiba yaliyoko katika wilaya hiyo wanakamatwa na kufunguliwa mashitaka…