Category: radio

Tume ya Uchaguzi nchini Kenya yatoa kauli

Tume ya Uchaguzi nchini Kenya imesema ndio yenye mamlaka ya kujumuisha na kutangaza matokeo ya Uchaguzi Mkuu nchini humo. Kauli hii imetolewa na Mwenyekiti wa Tume hiyo Wafula Chebukati baada…

Watu 10 wafariki dunia nchini Urusi

Watu 10 wamethibitishwa kupoteza maisha baada ya kutokea kwa shambulizi katika kituo cha kupanda treni cha chini ya ardhi cha mjini St. Petersburg, nchini Urusi. Taarifa zinasema shambulizi hilo lilitokea…

MKUU wa Wilaya ya Hanang’ atoa onyo

MKUU wa wilaya ya Hanang, Mkoani Manyara, Bi Sara Msafiri amepiga marufuku kufanya shughuli za kibiashara za mazao nje ya soko la Kimataifa la ENDAGAW. Mkuu wa wilaya hiyo ametoa…

SUMATRA yatoa maelekezo

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya usafiri majini na nchi na kavu (SUMATRA) Gilliard Ngewe amesema huduma za usafirishaji wa abiria na mizigo nchini zitaendelea kama kawaida hapo kesho. Hatua hiyo…