Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) Padri Raymond Saba na Ijumaa Kuu
Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) Padri Raymond Saba amesema Ijumaa Kuu ni siku muhimu ambayo waumini wa kanisa hilo wanakumbuka fumbo la ukombozi kupitia mateso ya Yesu…