Vyama vya kisiasa nchini Algeria vyaja na mpya
Vyama vya kisiasa nchini Algeria vimeridhia kuweka picha za wagombea wa kike kwenye mabango yake. Vyama vingi vimekua vikiweka picha za mitandio bila kuwepo na uso wa mgombea. Hata hivyo…
HabariNjema Fm- Mbulu Manyara
Vyama vya kisiasa nchini Algeria vimeridhia kuweka picha za wagombea wa kike kwenye mabango yake. Vyama vingi vimekua vikiweka picha za mitandio bila kuwepo na uso wa mgombea. Hata hivyo…
Zimbabwe inasherehekea miaka 37 tangu kupata uhuru chini ya rais Robart Mugabe mwenye unmri wa miaka 93. Maadhimisho hayo yanafanyika kipindi ambacho Zimbabwe inakabiliwa na kushuka thamani kwa pesa yake…
Wito umetolewa kwa watendaji wa Mamlaka ya Maji safi Jijini Dar es Salaam (DAWASCO) kuongeza nguvu katika usambazaji wa huduma hiyo kwa wananchi kuliko kuwekeza katika Uzalishaji kama ilivyo sasa.…
Sakata la watumishi wa umma kugushi vyeti vya elimu limezidi kuchukua sura mpya na sasa wamefikia zaidi ya 10,000. Hatua hiyo, inatokana na uhakiki uliofanywa na Sekretarieti ya Ajira katika…
Mtu mmoja mwanaume amefariki dunia papo hapo,huku wengine 27wakijeruhiwa baada ya Gari aina ya Eacher ambayo walikuwa wakisafiria kugonga treni katika maeneo ya Kamata wilaya ya Ilala Jijini Dar es…
Rais John Magufuli amesema kati ya madaktari 500 walioonyesha nia ya kwenda kufanya kazi nchini Kenya watachaguliwa 258 na kuajiriwa na serikali ya Tanzania mara moja kuanzia sasa. Taarifa iliyotolewa…
Wananchi wilayani Mbulu mkoani Manyara wametakiwa kutokuwa na hofu yeyote baada ya wagonjwa wa kifua kikuu {TB}kuchanganywa katika wodi ya wagonjwa wengine katika hospitali ya wilaya hiyo. Hayo yamesemwa na…
Miaka mitatu imepita tangu magaidi wa Boko Haram walipowateka wasichana zaidi ya 200 kutoka shule ya Chibok Kaskazini mwa Nigeria. Serikali ya Nigeria inasema mazungumzo yanaendelea kuhakikisha kuwa wasichana wengine…
Bomu kubwa zaidi kuwahi kutengenezwa na Marekani na ambalo halitumii nyuklia limeangushwa kwenye milima ya Afghanistan na kuripotiwa kuwaua mamia ya wapiganaji wa kundi la Islamic State ambao wamekuwa wakijificha…
Waendesha pikipiki maarufu kama bodaboda na baiskeli, kuanzia leo wamepigwa marufuku kusafirisha mazao ya misitu kama vile mkaa na mbao kwa kutumia vyombo hivyo, na watakaokiuka watachukuliwa hatua za kisheria.…