Serikali yatakiwa kuboresha huduma katika Vituo vya Afya na Hospitali za Rufaa
Serikali imetakiwa kuboresha huduma katika vituo vya afya na hospitali za rufaa ili kupunguza msongamano katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kutokana na wagonjwa wengi kukimbilia hospitalini hapo. Hayo yamebainishwa…