Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kumteua waziri mkuu
Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo leo anatarajiwa kumteua Waziri Mkuu, licha ya upinzani ambao ulipaswa kutoa jina hilo, kugawanyika, juu ya nani atakayeteuliwa. Mpaka sasa upinzani…