Day: April 7, 2017

Maandamano ya wapinzani Afrika Kusini yapamba moto

Maandamano ya vyama vya upinzani Afrika kusini pamoja na kundi linalojiita Save South Africa yameanza katika kumshinikiza Rais Jacob Zuma ang’atuke madarakani. Maandamano hayo yamepangiwa kufanyika nchi nzima. Wanajeshi wa…