UZINDUZI WA MFUMO MPYA WA KUTUMA MAOMBI YA UMEME
Wananchi Wilayani Mbulu Mkoani Manyara wametakiwa kutuma maombi ya umeme kwa njia ya mtandao ambayo inarahisisha upatikanji wa huduma hiyo. Hayo yamesemwa na meneja wa TANESCO wilaya ya Mbulu Mhandisi…