Wananchi Watishia ‘Kumuua’ Mwalimu Mkuu, Wanamtuhumu Kuwachapa Wanafunzi na Kuwalimisha Shamba Lake
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, wazazi wa kata tatu wilayani hapa Mkoa wa Mara, wamemtaka mwalimu mkuu wa Shule ya Msingi Nyanungu, Otieno Nicholaus kuchagua kuhama au kupoteza maisha. Kauli…