Day: May 7, 2018

karatu mimba zaongezeka sekondari

Akizungumza katika mkutano wa baraza la madiwani Bw Mnyenye amesema wazazi wengi wanasababisha wanafunzi kupata mimba kutokana na kupoteza ushahidi pale mtuhumiwa anaposhitakiwa. Kwa Upande wake Afisa elimu sekondari Bw:…