NA WILIAM LALIYO MANYARA

wauguzi mkoani  Manyara wameadhimisha siku ya Wauguzi duniani katika Tarafa ya Hydom ambapo wamezungumzia suala la kuboreshewa mazingira yao ya kazi.

Akizungumza katika maadhimisho hayo mwenyekiti wa chama cha wauguzi BI yasinta mkoa wa Manyara amesema wauguzi   wa hospitali na vituo vya afya wanafanya kazi katika mazingira magumu sana

Aidha  Mganga mkuu wa mkoa wa Manyara DR  Damas kaira  amesema serikali inashughulikia upungufu wa  wahudumu wa afya  pia na kutoa chanjo kwa wauguzi ili kuwakinga na maambukizi ya ugonwa wa ini

Naye Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Mbulu  BWHadson kamogaamekiri ni kweli kazi ya uuguzi ni ngumu lakini amewataka wauguzi kuendelea mayo huo wa kutoa huduma kwa wagonjwa

Kaimu katibu mkuu wa   mkoa wa Manyara Bw  marseile musa amesema    wauuguzi wamesaidia sana kupunguza   idadi ya vifo vya akinamama wajawazito  katika mkoa wa manyara

siku ya wauguzi imefanyika  may 12  wakiongozwa  na  kauli mbiu  wauuguzi ni sauti ya kuongozac  afya ni haki ya binadamu

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *