Panya watano wafikishwa polisi kwa kula pesa
Mfanyibiashara mmoja kutoka nchini Uganda amewapeleka panya watano katika Kituo cha Polisi cha Kotido Central katika tukio la kushangaza lililowaacha wanakijiji wenzake midomo wazi. Peter Lojok Longolangiro aliwatuhumu ‘watuhumiwa ’…
Mambo matano aliyoyasema JPM Bandarini ikiwemo kupandisha cheo
Leo May 15, 2018 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Magufuliamefanya ziara ya kushtukiza bandari ya Dar es salaam na kukagua matanki ya mafuta ya kupikia. Nakusogezea…
MKONGOMANI WA YANGA ATAJA KITAKACHOWAFANYA WASHINDE DHIDI YA RAYON
Baada ya Yanga kuanza vibaya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya makundi, kocha mkuu wa timu hiyo, Mwinyi Zahera raia wa DR Congo, amesema kuwa ni lazima washinde…
RAYON WAICHUKULIA YANGA KAMA TIMU DHAIFU
Baada ya kuwasili nchini jana wakiwa na wachezaji wao wote muhimu kwa ajili ya mchezo wa kesho dhidi ya Yanga katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika, uongozi wa Rayon…
AZAM FC WAACHANA NA MSHAMBULIAJI WAO MGHANA BERNARD ARTHUR
MSHAMBULIAJI Mghana, Bernard Arthur amevunja mkataba na klabu ya Azam FC ya Dar es Saalam baada ya nusu msimu tu wa kuwa na timu hiyo ya bilionea Alhaj Sheikh Said…
RAIS MAGUFULI AOMBWA KUIKABIDHI SIMBA SC KOMBE JUMAPILI TAIFA
RAIS MAGUFULI AOMBWA KUIKABIDHI SIMBA SC KOMBE JUMAPILI TAIFA RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia amesema kwamba amemuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John…
Mke wa Trump afanyiwa upasuaji wa figo
Mke wa Rais Donald Trump, Melania Trump amefanyiwa upasuaji wa figo katika hospitali ya Walter Reed Medical Center. Kwa mujibu wa msemaji wa Melania, Stephanie Grisham amesema upasuji huo umekuwa…
Kiongozi wa Kundi la Kigaidi la ADF Uganga Aliyekamatwa Tanzania Afikishwa Mahakamani
Kiongozi wa kundi la waasi la Allied democratic forces Jamil Mukulu, amefikishwa Mahakamani Kuu inayohusika na uhalifu wa kimataifa mjini Kampala, Uganda, Jumatatu miaka 3 baada ya kukamatwa nchini Tanzania.…
Marekani yafungua rasmi ubalozi wake Jerusalem
Marekani imeufungua rasmi ubalozi wake Jerusalem huku Wapalestina zaidi ya 40 wakiuawa na wengine wakijeruhiwa kwenye mapambano na askari wa Israel katika harakati za kuipinga hatua hiyo. Hatua ya Marekani…
Serikali Yaunda Baraza kuchunguza askari wa Tanzania aliyepotea Congo
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk Hussein Mwinyi ameziagiza familia za askari waliouawa wakilinda amani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kumaliza haraka taratibu za mirathi. Pia,…