Wakunga wa hospitali ya Halmashauri ya mji wa Mbulu waiomba serikali kuboresha Mazingira yao ya kazi na kuongezewa vitendea kazi kwa kazi yao.
Akizungumza na kituo hiki Muuguzi kutoka hospitali ya mjii wa mbulu Bi. Anna Bonifasi amesema ni vyema serikali iangalie hali ya kuongeza wakunga katika hospitali kwani ni wao ni wachache…