Rais samia suluhu ameeleza mafanikio katika safari yake nchini marekani,
Rais samia suluhu ameeleza mafanikio yaliyopatikana katika safari yake nchini marekani, ikiwepo kusaini mikataba na wawekezaji yenye thamani ya sh trilioni 11.7. akizungumza leo baada ya kuwasili nchini na ndege…
mkuu wa jeshi la polisi nchini igp simon sirro, ana haya yakusema
mkuu wa jeshi la polisi nchini igp simon sirro, amesema kwamba mwananchi yeyote atakayefanikisha kutoa taarifa na kukamatwa kwa mtuhumiwa anayejihusisha wizi wa mifugo na uhalifu wa kutumia silaha atazawadiwa…
Halmashauri ya mji wa mbulu imeadhimisha miaka 58 kwa kupanda katika eneo la chuo cha tango ili kutunza mazingira.
Halmashauri ya mji wa mbulu mkoani manyara, imeadhimisha miaka 58 kwa kupanda katika eneo la chuo cha tango ili kutunza mazingira. hayo yamesemwa na mwenyekiti wa halmashauri ya mji wa…
Rais Samia Suluhu Hassan anatazamia kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa filamu ya Royal Tour
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan anatazamia kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa filamu ya Royal Tour itakayofanyika leo tar 28/4/2022 katika ukumbi wa Kimataifa AICC…
wabunge wamlilia aliyekuwa mbunge wa viti maalum irene alex
Makamu wa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr Philip Isdori Mpango, amewaongoza wa Bunge kuagwa mwili wa aliyekuwa Mbunge wa viti maalumu Mkoa wa Rukwa marehemu Irene Alex…
Watumiaji na Wanufaika wa Ziwa Babati Mkoani Manyara wameshauriwa kutumia Ziwa kwa kufuata taratibu za utunzaji wa mazingira
Watumiaji na Wanufaika wa Ziwa Babati Mkoani Manyara wameshauriwa kutumia Ziwa hilo kwa kufuata taratibu za utunzaji wa mazingira ili kuepuka uharibifu wa chanzo cha Maji na Samaki wanaopatikana katika…
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema maandalizi ya sensa ya watu na makazi itakayofanyika Agosti 23, 2022 hadi sasa yamefikia asilimia 81
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema maandalizi ya sensa ya watu na makazi itakayofanyika Agosti 23, 2022 hadi sasa yamefikia asilimia 81. Majaliwa ameyasema hayo wakati wa sherehe za miaka 58…
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mama samia suluhu hassan ametoa msamaha kwa wafungwa
Rais wa jamhuri ya Muungano wa tanzania Samia Suluhu Hassan ametoa msamaha kwa wafungwa 3, 826 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 58 ya muungano wa Tanzania. Taarifa iliyotolewa…
afisa uchaguzi halmashauri ya mji wa mbulu mkoani manyara
Imelezwa Kuwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar imeleta faida kwa Tanzania hasa umoja wa kitaifa, upatikanaji wa ajiri pamoja na ulinzi imara. Hayo yamesemwa na Afisa Uchaguzi Halmashauri ya Mji…
waziri mkuu kassim majaliwa amewataka wafanyabiashara watumie fursa za kibiashara
waziri mkuu Kassim Majaliwa amewataka Wafanyabiashara wa pande zote mbili za Muungano watumie vyema fursa ya kibiashara ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili wajengane kibiashara kabla ya kufikiria…