Month: April 2017

Bomu lauwa Afghanstan

Bomu kubwa zaidi kuwahi kutengenezwa na Marekani na ambalo halitumii nyuklia limeangushwa kwenye milima ya Afghanistan na kuripotiwa kuwaua mamia ya wapiganaji wa kundi la Islamic State ambao wamekuwa wakijificha…

Maandamano ya wapinzani Afrika Kusini yapamba moto

Maandamano ya vyama vya upinzani Afrika kusini pamoja na kundi linalojiita Save South Africa yameanza katika kumshinikiza Rais Jacob Zuma ang’atuke madarakani. Maandamano hayo yamepangiwa kufanyika nchi nzima. Wanajeshi wa…